Swali: Je, inajuzu kutumia dalili kwa kauli miongoni mwa kauli za wanachuoni ya kwamba adhaana ya ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh) ya Ijumaa baada ya zama za Maswahabah inahesabika ni Bid´ah?
Jibu: Huyu sio mwanachuoni mwenye kusema kuwa adhaana ya kwanza ambayo aliamrisha ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh), ambaye ndio khaliyfah wa tatu miongoni mwa makhaliyfah waongofu, kuwa ni Bid´ah. Aliiamrisha katika zama za Muhaajiruun na Answaa pia na hawakumkataza. Huyu sio mwanachuoni juu ya masuala haya. Hata kama anaweza kuwa mwanachuoni katika mambo mengine pamoja na hivyo ni mjinga katika masuala haya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14759
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Je, inajuzu kutumia dalili kwa kauli miongoni mwa kauli za wanachuoni ya kwamba adhaana ya ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh) ya Ijumaa baada ya zama za Maswahabah inahesabika ni Bid´ah?
Jibu: Huyu sio mwanachuoni mwenye kusema kuwa adhaana ya kwanza ambayo aliamrisha ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh), ambaye ndio khaliyfah wa tatu miongoni mwa makhaliyfah waongofu, kuwa ni Bid´ah. Aliiamrisha katika zama za Muhaajiruun na Answaa pia na hawakumkataza. Huyu sio mwanachuoni juu ya masuala haya. Hata kama anaweza kuwa mwanachuoni katika mambo mengine pamoja na hivyo ni mjinga katika masuala haya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14759
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/mwenye-kusema-hivi-sio-mwanachuoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)