Swali: Allaah anilijaalia mwaka ujao nikaweza kuhiji. Lakini ili niweze kuwakwepa polisi nilipita Miyqaat na huku nimevaa mavazi ya kawaida. Je, ni lazima kwangu kutoa kafara au fidia?
Jibu: Ndio. Ulipita Miyqaat na huku umevaa mavazi ya kawaida na pasi na Ihraam na wewe unanuia kuhiji. Ni lazima kwako kutoa fidia. Kwa sababu haya ni makatazo miongoni mwa makatazo ya Ihraam.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (90) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20-15-07-1439.lite__0_0.mp3
- Imechapishwa: 18/08/2018
Swali: Allaah anilijaalia mwaka ujao nikaweza kuhiji. Lakini ili niweze kuwakwepa polisi nilipita Miyqaat na huku nimevaa mavazi ya kawaida. Je, ni lazima kwangu kutoa kafara au fidia?
Jibu: Ndio. Ulipita Miyqaat na huku umevaa mavazi ya kawaida na pasi na Ihraam na wewe unanuia kuhiji. Ni lazima kwako kutoa fidia. Kwa sababu haya ni makatazo miongoni mwa makatazo ya Ihraam.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (90) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20-15-07-1439.lite__0_0.mp3
Imechapishwa: 18/08/2018
https://firqatunnajia.com/mwenye-kuhiji-kapita-miyqaat-amevaa-nguo-za-kawaida/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)