Swali: Je, inafaa kwa mwenye hedhi kusoma Adhkaar za asubuhi na jioni na Adhkaar za kulala na zile Aayah na Suurah zinazopatikana ndani yake?
Jibu: Ndio. Asisome Aayah hizo kwa nia na njia ya kisomo, bali kwa njia na nia ya Adhkaar tu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
- Imechapishwa: 23/07/2017
Swali: Je, inafaa kwa mwenye hedhi kusoma Adhkaar za asubuhi na jioni na Adhkaar za kulala na zile Aayah na Suurah zinazopatikana ndani yake?
Jibu: Ndio. Asisome Aayah hizo kwa nia na njia ya kisomo, bali kwa njia na nia ya Adhkaar tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
Imechapishwa: 23/07/2017
https://firqatunnajia.com/mwenye-hedhi-kusoma-adhkaar-za-asubuhi-na-jioni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)