Swali: Je, ni kweli maimamu wakiwa watatu basi wanapaswa kumuweka katikati yao yule mkubwa wa0?
Jibu: Hili halikupokelewa. Bali kilichopokelewa kwa nisba ya imamu:
1 – Atangulizwe mbele yule ambaye ni msomaji zaidi wa Kitabu cha Allaah.
2 – Mtambuzi wao zaidi wa Sunnah.
Walioko nyuma yake wanatakiwa wawe wale wakomavu na wenye akili ili wamfungulie pale atakaposahau.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 143
- Imechapishwa: 02/07/2022
Swali: Je, ni kweli maimamu wakiwa watatu basi wanapaswa kumuweka katikati yao yule mkubwa wa0?
Jibu: Hili halikupokelewa. Bali kilichopokelewa kwa nisba ya imamu:
1 – Atangulizwe mbele yule ambaye ni msomaji zaidi wa Kitabu cha Allaah.
2 – Mtambuzi wao zaidi wa Sunnah.
Walioko nyuma yake wanatakiwa wawe wale wakomavu na wenye akili ili wamfungulie pale atakaposahau.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 143
Imechapishwa: 02/07/2022
https://firqatunnajia.com/mwenye-haki-zaidi-ya-kuwa-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)