Swali: Je, uvutaji sigara, unyoaji ndevu na kuvaa nguo inayovuka kongo mbili za miguu yanaingia katika madhambi makubwa?
Jibu: Kuvaa nguo inayovuka kongo mbili ni dhambi kubwa. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametishia hilo kwa Moto:
“Mwenye kuiburuta nguo yake kwa kiburi Allaah hatomtazama.”
Kuhusu kuvuta sigara na kunyoa ndevu ni maasi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
- Imechapishwa: 03/01/2018
Swali: Je, uvutaji sigara, unyoaji ndevu na kuvaa nguo inayovuka kongo mbili za miguu yanaingia katika madhambi makubwa?
Jibu: Kuvaa nguo inayovuka kongo mbili ni dhambi kubwa. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametishia hilo kwa Moto:
“Mwenye kuiburuta nguo yake kwa kiburi Allaah hatomtazama.”
Kuhusu kuvuta sigara na kunyoa ndevu ni maasi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
Imechapishwa: 03/01/2018
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kuvaa-nguo-inayovuka-kongo-za-miguu-ni-dhambi-kubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)