Swali: Akifa mke wa mtu inajuzu kwake kuoa mwanamke mwengine tokea kufa kwake kwa mwezi mmoja, chini ya hapo au zaidi ya hapo? Wapo baadhi ya maimamu wanaosema kuwa haifai isipokuwa mpaka kupite miezi mitatu. Nimeshangazwa na jambo hili; ni sahihi au hapana?
Jibu: Mke wa mwanaume akifa inafaa kwake kuoa pale anapotaka. Aliyoyataja hayana msingi wowote. Bali ni batili.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (18/27-28)
- Imechapishwa: 20/08/2017
Swali: Akifa mke wa mtu inajuzu kwake kuoa mwanamke mwengine tokea kufa kwake kwa mwezi mmoja, chini ya hapo au zaidi ya hapo? Wapo baadhi ya maimamu wanaosema kuwa haifai isipokuwa mpaka kupite miezi mitatu. Nimeshangazwa na jambo hili; ni sahihi au hapana?
Jibu: Mke wa mwanaume akifa inafaa kwake kuoa pale anapotaka. Aliyoyataja hayana msingi wowote. Bali ni batili.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (18/27-28)
Imechapishwa: 20/08/2017
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kuoa-baada-tu-ya-mke-wake-kufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)