Ahmad aliulizwa juu ya mwanamke yatima kumpa mtu pesa ahiji kwa niaba yake. Akauliza:
“Kwani amekata tamaa?” Kukasemwa: “Ndio.” Ndipo akasema: “Amlipie mtu mwengine ambaye atahiji kwa niaba yake wakati bado yuko hai.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 27
- Imechapishwa: 14/03/2021
Ahmad aliulizwa juu ya mwanamke yatima kumpa mtu pesa ahiji kwa niaba yake. Akauliza:
“Kwani amekata tamaa?” Kukasemwa: “Ndio.” Ndipo akasema: “Amlipie mtu mwengine ambaye atahiji kwa niaba yake wakati bado yuko hai.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 27
Imechapishwa: 14/03/2021
https://firqatunnajia.com/mwanamke-yatima-anataka-kuhiji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)