Swali: Mwanamke aliyetoka karibuni kusilimu kutoka Urusi anasema kuwa anafanya kazi kati ya makafiri na anakusanya swalah zote jioni. Ni ipi hukumu ya kukusanya kwake swalah zake?
Jibu: Haijuzu. Swalah inatakiwa kuswaliwa kwa wakati wake. Swali swalah kwa wakati wake. Haijuzu kwake kufanya hivi. Mwanamke kama huyu wa Kiislamu haijuzu pia kwake kufanya kazi na makafiri. Atafatute kazi nyingine:
وَمَن يَتَّقِ اللَّـهَ يَجْعَل لَّهُ مَخْرَجًا وَيَرْزُقْهُ مِنْ حَيْثُ لَا يَحْتَسِبُ
“Na yeyote anayemcha Allaah; basi atamjaalia njia ya kutoka na atamruzuku kutoka njia ambayo hatizamii.” (65:02-03)
Afanye kazi na waislamu wenzake katika nchi yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 01/11/2016
Swali: Mwanamke aliyetoka karibuni kusilimu kutoka Urusi anasema kuwa anafanya kazi kati ya makafiri na anakusanya swalah zote jioni. Ni ipi hukumu ya kukusanya kwake swalah zake?
Jibu: Haijuzu. Swalah inatakiwa kuswaliwa kwa wakati wake. Swali swalah kwa wakati wake. Haijuzu kwake kufanya hivi. Mwanamke kama huyu wa Kiislamu haijuzu pia kwake kufanya kazi na makafiri. Atafatute kazi nyingine:
وَمَن يَتَّقِ اللَّـهَ يَجْعَل لَّهُ مَخْرَجًا وَيَرْزُقْهُ مِنْ حَيْثُ لَا يَحْتَسِبُ
“Na yeyote anayemcha Allaah; basi atamjaalia njia ya kutoka na atamruzuku kutoka njia ambayo hatizamii.” (65:02-03)
Afanye kazi na waislamu wenzake katika nchi yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
Imechapishwa: 01/11/2016
https://firqatunnajia.com/mwanamke-wa-kirusi-anakusanya-swalah-zote-jioni-anapotoka-kazini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)