Swali 770: Ni ipi hukumu ya kumzingatia mwanamke ni miongoni mwa vyenye kurithiwa nyumbani kwa mume?
Jibu: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amemharamisha mwanamke kuwa miongoni mwa vyenye kurithiwa. Amesema (Ta´ala):
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا يَحِلُّ لَكُمْ أَن تَرِثُوا النِّسَاءَ كَرْهًا
“Enyi walioamini! Si halali kwenu kuwarithi wanawake kwa kuwakirihisha.”[1]
Amedhamini utuwake kuwa kipekee na akamfanya kuwa ni mrithi na si mwenye kurithiwa.
[1] 04:19
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 301
- Imechapishwa: 04/08/2019
Swali 770: Ni ipi hukumu ya kumzingatia mwanamke ni miongoni mwa vyenye kurithiwa nyumbani kwa mume?
Jibu: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amemharamisha mwanamke kuwa miongoni mwa vyenye kurithiwa. Amesema (Ta´ala):
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا يَحِلُّ لَكُمْ أَن تَرِثُوا النِّسَاءَ كَرْهًا
“Enyi walioamini! Si halali kwenu kuwarithi wanawake kwa kuwakirihisha.”[1]
Amedhamini utuwake kuwa kipekee na akamfanya kuwa ni mrithi na si mwenye kurithiwa.
[1] 04:19
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 301
Imechapishwa: 04/08/2019
https://firqatunnajia.com/mwanamke-si-katika-mali-zenye-kurithiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)