26 Nami nilikuwa nikivumbua:
Jambo lenye maumivu zaidi ya kifo,
nikampata mwanamke ambaye yeye mwenyewe ni nyavu za kuwinda
na moyo wake ni nyavu za kukokota na ambaye mikono yake ni pingu.
Mtu ni mwema mbele za macho ya Mungu wa kweli ikiwa anaponyoka kutoka kwake,
lakini mtu anafanya dhambi ikiwa ananaswa naye.
27Tazama! nimevumbua hili:
Akasema mkutanishaji,
Kitu kimoja kikichukuliwa baada ya kingine ili kujua jumla yake,
28ambayo nafsi yangu imetafuta kwa kuendelea, wala sijaiona. Nimemuona mwanamume mmoja kati ya elfu moja,
lakini sijamwona mwanamke mmoja kati yao wote.
29Tazama! Nimeona hili peke yake:
Ya kwamba Mungu wa kweli aliwafanya wanadamu wakiwa wanyoofu,
lakini wao wenyewe wametafuta mipango mingi.”
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mhuburi 07:26
- Imechapishwa: 17/01/2020
26 Nami nilikuwa nikivumbua:
Jambo lenye maumivu zaidi ya kifo,
nikampata mwanamke ambaye yeye mwenyewe ni nyavu za kuwinda
na moyo wake ni nyavu za kukokota na ambaye mikono yake ni pingu.
Mtu ni mwema mbele za macho ya Mungu wa kweli ikiwa anaponyoka kutoka kwake,
lakini mtu anafanya dhambi ikiwa ananaswa naye.
27Tazama! nimevumbua hili:
Akasema mkutanishaji,
Kitu kimoja kikichukuliwa baada ya kingine ili kujua jumla yake,
28ambayo nafsi yangu imetafuta kwa kuendelea, wala sijaiona. Nimemuona mwanamume mmoja kati ya elfu moja,
lakini sijamwona mwanamke mmoja kati yao wote.
29Tazama! Nimeona hili peke yake:
Ya kwamba Mungu wa kweli aliwafanya wanadamu wakiwa wanyoofu,
lakini wao wenyewe wametafuta mipango mingi.”
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mhuburi 07:26
Imechapishwa: 17/01/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-ni-maumivu-zaidi-ya-kifo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)