Swali: Ikiwa mwanamke damu yake ya nifasi imekatika kabla ya kutimia siku 40 baada ya kuzaa. Je, swawm yake ni sahihi?
Jibu: Swawm yake ni sahihi kwa kuwa imesafika damu yake. Sawa bila ya kujali kumepita chini ya siku 40 kwa sababu [ikikatika damu yake] anafuata hukumu moja kama ya wanawake wengine wote ambao wako Twahara na damu ya uke.
- Mhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan as-Sa’diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fataawaa ad-Sa’diyyah uk, 138
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Ikiwa mwanamke damu yake ya nifasi imekatika kabla ya kutimia siku 40 baada ya kuzaa. Je, swawm yake ni sahihi?
Jibu: Swawm yake ni sahihi kwa kuwa imesafika damu yake. Sawa bila ya kujali kumepita chini ya siku 40 kwa sababu [ikikatika damu yake] anafuata hukumu moja kama ya wanawake wengine wote ambao wako Twahara na damu ya uke.
Mhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan as-Sa’diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fataawaa ad-Sa’diyyah uk, 138
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-mwenye-nifasi-kufunga-kabla-ya-kutimia-siku-40/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)