Swali: Je, inafaa kwa mwanamke mwenye hedhi kuingia msikitini kwa ajili ya darsa ya kielimu?
Jibu: Hapana. Leo anaweza kusikiliza kupitia kipaza sauti. Anaweza kusikiliza na yeye amekaa nyumbani kwake au kwenye nyumba ya mtu mwengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
- Imechapishwa: 21/05/2019
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke mwenye hedhi kuingia msikitini kwa ajili ya darsa ya kielimu?
Jibu: Hapana. Leo anaweza kusikiliza kupitia kipaza sauti. Anaweza kusikiliza na yeye amekaa nyumbani kwake au kwenye nyumba ya mtu mwengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
Imechapishwa: 21/05/2019
https://firqatunnajia.com/mwanamke-mwenye-hedhi-anasikiliza-darsa-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)