Swali: Mwanaume akienda kumposa mwanamke mtalikiwa ilihali anajua kuwa huyu mwanamke hamtaki na atafanya bidii zote amtaliki ili aweze kurudi kwa yule mume wa kwanza. Je, katika hali hii itafaa kwa mwanaume huyu kwenda kumposa?
Jibu: Hapana, haijuzu kwake kufanya hivo. Asende ilihali anajua kuwa hampendi na badala yake anampenda yule mume wake wa kwanza. Anachotaka mwanamke huyu ni kumfanya mwanaume huyu kama njia ya kumwendea yule mume wa kwanza. Haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Mwanaume akienda kumposa mwanamke mtalikiwa ilihali anajua kuwa huyu mwanamke hamtaki na atafanya bidii zote amtaliki ili aweze kurudi kwa yule mume wa kwanza. Je, katika hali hii itafaa kwa mwanaume huyu kwenda kumposa?
Jibu: Hapana, haijuzu kwake kufanya hivo. Asende ilihali anajua kuwa hampendi na badala yake anampenda yule mume wake wa kwanza. Anachotaka mwanamke huyu ni kumfanya mwanaume huyu kama njia ya kumwendea yule mume wa kwanza. Haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/mwanamke-mtalikiwa-anamtaka-mume-wake-wa-kwanza-baada-ya-talaka-tatu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)