Swali: Inajuzu kwa mwanamke kusafiri kwenda hajj kwa pesa ya kaka yake na mume wake amekubali safari yake?
Jibu: Ndio, inafaa kwake kusafiri kwa pesa ya kaka yake mume wake akikubali asafiri kwenda hajj.
Muulizaji: Imeshurutisha awe na Mahram?
Ibn ´Uthyamiyn: Ndio, ni lazima awe na Mahram.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (05) http://binothaimeen.net/content/6678
- Imechapishwa: 05/10/2020
Swali: Inajuzu kwa mwanamke kusafiri kwenda hajj kwa pesa ya kaka yake na mume wake amekubali safari yake?
Jibu: Ndio, inafaa kwake kusafiri kwa pesa ya kaka yake mume wake akikubali asafiri kwenda hajj.
Muulizaji: Imeshurutisha awe na Mahram?
Ibn ´Uthyamiyn: Ndio, ni lazima awe na Mahram.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (05) http://binothaimeen.net/content/6678
Imechapishwa: 05/10/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kwenda-hajj-kwa-pesa-ya-kaka-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)