Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kuvaa suruwali?

Jibu: Haitakikani kwa mwanamke kuvaa suruwali. Huku ni kujifananisha na wanaume.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
  • Imechapishwa: 30/03/2019