Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutoka mji kwenda mwingine akiwa pamoja na mtoto wa kiume wa dada yake kwa ajili ya matibabu naye (mtoto huyo) hajafikisha umri wa kuota ?
Jibu: Ikiwa mtoto huyo anaweza kupambanua mambo, hakuna ubaya kwa hili. Na aghlabu ambaye kishafikisha miaka 10, 11 au 13 anakuwa ni mwenye kuweza kupambanua. Hakuna ubaya kusafiri pamoja naye ikiwa kutaaminika fitina. Na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Sio Halali kwa mwanamke ambaye anamwamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1062
- Imechapishwa: 20/02/2018
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutoka mji kwenda mwingine akiwa pamoja na mtoto wa kiume wa dada yake kwa ajili ya matibabu naye (mtoto huyo) hajafikisha umri wa kuota ?
Jibu: Ikiwa mtoto huyo anaweza kupambanua mambo, hakuna ubaya kwa hili. Na aghlabu ambaye kishafikisha miaka 10, 11 au 13 anakuwa ni mwenye kuweza kupambanua. Hakuna ubaya kusafiri pamoja naye ikiwa kutaaminika fitina. Na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Sio Halali kwa mwanamke ambaye anamwamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1062
Imechapishwa: 20/02/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kusafiri-na-mahram-mtoto-awezae-kupambanua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)