Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kumkogesha mwanamke ambaye ni mwendawazimu ambaye yuko hai na mwanamke ambaye ni mzee ikiwa hawawezi kujikogesha wenyewe?
Jibu: Akijiaminia kutopatwa na fitina na anayemuosha akawa na nguo zake, hakuna ubaya wa hili. Ama akikhofia nafsi yake kupatwa na fitina, hapana haijuzu, sawa kwake yeye na wengine.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1827
- Imechapishwa: 22/02/2018
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kumkogesha mwanamke ambaye ni mwendawazimu ambaye yuko hai na mwanamke ambaye ni mzee ikiwa hawawezi kujikogesha wenyewe?
Jibu: Akijiaminia kutopatwa na fitina na anayemuosha akawa na nguo zake, hakuna ubaya wa hili. Ama akikhofia nafsi yake kupatwa na fitina, hapana haijuzu, sawa kwake yeye na wengine.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1827
Imechapishwa: 22/02/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kumkogesha-mama-mzee-na-mwendawazimu-wasiojiweza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)