Swali: Ni ipi hukumu mwanaume akamfanyia Hajj mwanamke au kinyume chake na inatosheleza?
Jibu: Ndio, inajuzu kwa mwanamke kumfanyia Hajj mwanaume. Kwa kuwa kuna mwanamke alimuuliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba baba yake faradhi ya Hajj imemkuta akiwa Hajj na yeye hawezi kupanda vizuri juu ya mpando, kutokana na utuuzima, akamwambia “Muhijie baba yako”. Mwanamke anaweza kumhijia mwanaume na mwanaume akamhijia mwanamke. Hakuna kizuizi kwa hilo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-04-12.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Jibu: Ndio, inajuzu kwa mwanamke kumfanyia Hajj mwanaume. Kwa kuwa kuna mwanamke alimuuliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba baba yake faradhi ya Hajj imemkuta akiwa Hajj na yeye hawezi kupanda vizuri juu ya mpando, kutokana na utuuzima, akamwambia “Muhijie baba yako”. Mwanamke anaweza kumhijia mwanaume na mwanaume akamhijia mwanamke. Hakuna kizuizi kwa hilo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-04-12.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
http://firqatunnajia.com/mwanamke-kumhijia-mwanaume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)