Swali: Kuna mwanamke aliekufa naye alikuwa na deni la Ramadhaan. Je ni wajibu kwa jamaa zake kama watoto wake kumfungia au kulisha?
Jibu: Ndio, wamfungie. Kama alivyosema Mtume (swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Atayekufa naye anadaiwa swawm, basi amfungie walii wake.”
Wamfungie. Isipokuwa ikiwa alishikwa na maradhi mpaka akafa hivyo akawa hakuweza kufunga, watakuwa hawana ulazima wowote wa kulipa. Ama ikiwa aliweza kulipa na hakufanya hivyo, au kula kwake haikuwa kwa sababu ya maradhi, bali ilikuwa ni kwa sababu ya nifasi au hedhi. Huyu atalipiwa.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://alwasabi.al3ilm.com/alfatawaa
- Imechapishwa: 10/05/2020
Swali: Kuna mwanamke aliekufa naye alikuwa na deni la Ramadhaan. Je ni wajibu kwa jamaa zake kama watoto wake kumfungia au kulisha?
Jibu: Ndio, wamfungie. Kama alivyosema Mtume (swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Atayekufa naye anadaiwa swawm, basi amfungie walii wake.”
Wamfungie. Isipokuwa ikiwa alishikwa na maradhi mpaka akafa hivyo akawa hakuweza kufunga, watakuwa hawana ulazima wowote wa kulipa. Ama ikiwa aliweza kulipa na hakufanya hivyo, au kula kwake haikuwa kwa sababu ya maradhi, bali ilikuwa ni kwa sababu ya nifasi au hedhi. Huyu atalipiwa.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://alwasabi.al3ilm.com/alfatawaa
Imechapishwa: 10/05/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kafariki-na-deni-afungiwe-na-jamaa-zake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)