Swali: Ni bora kwa wanawake kuswali nyumbani [swalah ya kupatwa kwa jua] au pamoja na mkusanyiko wa waislamu?
Jibu: Bora ni mwanamke kuswali nyumbani kwake. Isipokuwa swalah moja tu; nayo ni swalah ya ´Iyd mbili. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha wanawake watoke, lakini hata hivyo watoke hali ya kuwa si wenye kuonyesha mapambo na wala wenye kujitia manukato. Ama kuhusiana na swalah zengine hakuna neno kwa mwanamke kuswali pamoja na wanaume msikitini na khaswakhaswa swalah ya kupatwa kwa jua.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (49) http://binothaimeen.net/content/1114
- Imechapishwa: 17/04/2019
Swali: Ni bora kwa wanawake kuswali nyumbani [swalah ya kupatwa kwa jua] au pamoja na mkusanyiko wa waislamu?
Jibu: Bora ni mwanamke kuswali nyumbani kwake. Isipokuwa swalah moja tu; nayo ni swalah ya ´Iyd mbili. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha wanawake watoke, lakini hata hivyo watoke hali ya kuwa si wenye kuonyesha mapambo na wala wenye kujitia manukato. Ama kuhusiana na swalah zengine hakuna neno kwa mwanamke kuswali pamoja na wanaume msikitini na khaswakhaswa swalah ya kupatwa kwa jua.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (49) http://binothaimeen.net/content/1114
Imechapishwa: 17/04/2019
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aswali-swalah-ya-kupatwa-kwa-jua-nyumbani-au-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)