Swali: Adhaana na Iqaamah imewekwa katika Shari´ah kwa wanawake?
Jibu: Wanawake hawakuwekewa katika Shari´ah adhaana wala Iqaamah. Adhaana na Iqaamah ni kitu maalum kwa wanamme. Ama kuhusu mwanamke anatakiwa kuswali pasi na adhaana wala Iqaamah. Kwa msemo mwingine asiadhini na wala asikimu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
- Imechapishwa: 20/12/2020
Swali: Adhaana na Iqaamah imewekwa katika Shari´ah kwa wanawake?
Jibu: Wanawake hawakuwekewa katika Shari´ah adhaana wala Iqaamah. Adhaana na Iqaamah ni kitu maalum kwa wanamme. Ama kuhusu mwanamke anatakiwa kuswali pasi na adhaana wala Iqaamah. Kwa msemo mwingine asiadhini na wala asikimu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
Imechapishwa: 20/12/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-asiadhini-na-wala-asikimu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)