Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke ambaye anaishi jirani ya Msikiti na kati kuna ukuta unaoweka mpaka kumfuata Imamu Ramadhaan katika Tarawiyh na akaswali naye?
Jibu: Hapana. Ikiwa mahala ambapo yuko ni sehemu katika Msikiti, hakuna neno. Ama ikiwa sio katika Msikiti, asimfuati Imamu isipokuwa ikiwa kama anamuona Imamu au anamuona mtu alie nyuma yake. Ama kusikia tu sauti ilihali hayuko Msikitini, haijuzu kumfuata.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-10-13.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke ambaye anaishi jirani ya Msikiti na kati kuna ukuta unaoweka mpaka kumfuata Imamu Ramadhaan katika Tarawiyh na akaswali naye?
Jibu: Hapana. Ikiwa mahala ambapo yuko ni sehemu katika Msikiti, hakuna neno. Ama ikiwa sio katika Msikiti, asimfuati Imamu isipokuwa ikiwa kama anamuona Imamu au anamuona mtu alie nyuma yake. Ama kusikia tu sauti ilihali hayuko Msikitini, haijuzu kumfuata.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-10-13.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/mwanamke-anayeishi-pembezoni-mwa-msikiti-kumfuata-imamu__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)