Swali: Je, inajuzu kwa kaka wa kuchangia ziwa akamuozesha dada yake wa kuchangia ziwa ikiwa mwanamke huyu hana walii wa kumuozesha au kuozeshwa kwake kunakuwa kwa Qaadhiy?
Jibu: Wale wote ambao ana mafungamano nao kwa kuchangia ziwa moja hawana haki ya kumuozesha. Baba yake kwa sababu ya unyonyeshaji haifai akamuozesha. Kaka yake kwa sababu ya unyonyeshaji haifai akamuozesha. Kwa sababu hakuna nasabu kati yao wao na mwanamke huyo. Tunasema kwamba mwanamke hafungishwi ndoa isipokuwa tu na wale ndugu zake wavulana kinasabu. Hii ndio kanuni yenyewe.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (55) http://binothaimeen.net/content/1259
- Imechapishwa: 02/10/2019
Swali: Je, inajuzu kwa kaka wa kuchangia ziwa akamuozesha dada yake wa kuchangia ziwa ikiwa mwanamke huyu hana walii wa kumuozesha au kuozeshwa kwake kunakuwa kwa Qaadhiy?
Jibu: Wale wote ambao ana mafungamano nao kwa kuchangia ziwa moja hawana haki ya kumuozesha. Baba yake kwa sababu ya unyonyeshaji haifai akamuozesha. Kaka yake kwa sababu ya unyonyeshaji haifai akamuozesha. Kwa sababu hakuna nasabu kati yao wao na mwanamke huyo. Tunasema kwamba mwanamke hafungishwi ndoa isipokuwa tu na wale ndugu zake wavulana kinasabu. Hii ndio kanuni yenyewe.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (55) http://binothaimeen.net/content/1259
Imechapishwa: 02/10/2019
https://firqatunnajia.com/mwanamke-anaweza-kufungishwa-ndoa-na-kaka-yake-wa-kuchangia-ziwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)