Swali: Mimi naishi na familia ya mume wangu. Watasafiri safari ndefu. Siwezi kubaki mwenyewe na mume wangu hayupo. Je, nisafiri nao ikiwa ni ndugu na mama wa mume wangu? Mume wangu amekubali lakini hata hivyo hawezi kuwepo kwa sababu anafanya kazi mbali. Siwezi kusafiri naye na wala siwezi kubaki mwenyewe kwenye nyumba ya familia ya mume wangu.
Jibu: Ndugu wa mume wake sio Mahaarim zako. Usisafiri na yeyote isipokuwa Mahram wako. Ima mume wako aje na usafiri naye au baki kwenye mji mpaka pale atapokuja.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-13.mp3
- Imechapishwa: 12/06/2018
Swali: Mimi naishi na familia ya mume wangu. Watasafiri safari ndefu. Siwezi kubaki mwenyewe na mume wangu hayupo. Je, nisafiri nao ikiwa ni ndugu na mama wa mume wangu? Mume wangu amekubali lakini hata hivyo hawezi kuwepo kwa sababu anafanya kazi mbali. Siwezi kusafiri naye na wala siwezi kubaki mwenyewe kwenye nyumba ya familia ya mume wangu.
Jibu: Ndugu wa mume wake sio Mahaarim zako. Usisafiri na yeyote isipokuwa Mahram wako. Ima mume wako aje na usafiri naye au baki kwenye mji mpaka pale atapokuja.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-13.mp3
Imechapishwa: 12/06/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-anataka-kusafiri-na-washemeji-na-mama-mkwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)