Swali: Kuna wanawake wawili walijadili. Mmoja wao akasema ni lazima kwa mwanamke kuingiza kidole chake ndani na kuosha uke. Mwengine akasema lililo la wajibu ni kuosha tu nje ya uke. Ni yupi kati ya hawa wawili ambaye kapatia?
Jibu: Sahihi ni kwamba sio wajibu kwake kufanya hivo. Iwapo atafanya, basi inafaa.
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/297)
- Imechapishwa: 14/11/2017
Swali: Kuna wanawake wawili walijadili. Mmoja wao akasema ni lazima kwa mwanamke kuingiza kidole chake ndani na kuosha uke. Mwengine akasema lililo la wajibu ni kuosha tu nje ya uke. Ni yupi kati ya hawa wawili ambaye kapatia?
Jibu: Sahihi ni kwamba sio wajibu kwake kufanya hivo. Iwapo atafanya, basi inafaa.
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/297)
Imechapishwa: 14/11/2017
https://firqatunnajia.com/mwanamke-anapaswa-kuosha-uke-wake-kwa-ndani-na-kwa-nje/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)