Swali 1030: Ni ipi hukumu ya mwanamke anayetumia Hijaab na anatoka mbele za wanaume ambao ni kando na yeye akiwa waziwazi? Baadhi ya nyakati hukaa pamoja nao akinywa kahawa, akizungumza na kutoka pamoja na wao na walii wake ameridhia jambo hilo.
Jibu: Haijuzu kwa mwanamke kufunua uso wake kwa wasiokuwa Mahram zake. Vilevile asikae na asitoke pamoja nao.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 410
- Imechapishwa: 15/09/2019
Swali 1030: Ni ipi hukumu ya mwanamke anayetumia Hijaab na anatoka mbele za wanaume ambao ni kando na yeye akiwa waziwazi? Baadhi ya nyakati hukaa pamoja nao akinywa kahawa, akizungumza na kutoka pamoja na wao na walii wake ameridhia jambo hilo.
Jibu: Haijuzu kwa mwanamke kufunua uso wake kwa wasiokuwa Mahram zake. Vilevile asikae na asitoke pamoja nao.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 410
Imechapishwa: 15/09/2019
https://firqatunnajia.com/mwanamke-anajichanga-sana-na-wanaume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)