Swali: Mimi ni muheshimiwa wa kike ambaye nina watoto. Miaka mitatu iliyopita sikuwa ni mwenye kuswali wala kufunga. Lakini hivi sasa Allaah ameniongoza naswali, nafunga, namuomba Mola wangu na namuomba msamaha kutokana na yale yaliyonipita. Naomba kufutiwa kwa yale yaliyonipita na ni kipi kinachonilazimu; je, nalazimika kutoa kafara pamoja na kuomba msamaha au nifanye nini?
Jibu: Hakuna kinachomlazimu isipokuwa kutubu, jambo ambalo amekwishalifanya na himdi zote anastahiki Allaah. Halazimiki kurudi kuswali wala kufunga zile swalah na swawm zilizompita. Lakini kuhusu zakaah ni lazima kwake kuzitoa. Asipofanya hivo hakuna neno. Kwa sababu alipoacha swalah alikuwa ni mwenye kuritadi na akawa ni miongoni mwa wanawake wa kikafiri. Hivi sasa Allaah amemuongoza katika Uislamu na ni muislamu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1389
- Imechapishwa: 01/12/2019
Swali: Mimi ni muheshimiwa wa kike ambaye nina watoto. Miaka mitatu iliyopita sikuwa ni mwenye kuswali wala kufunga. Lakini hivi sasa Allaah ameniongoza naswali, nafunga, namuomba Mola wangu na namuomba msamaha kutokana na yale yaliyonipita. Naomba kufutiwa kwa yale yaliyonipita na ni kipi kinachonilazimu; je, nalazimika kutoa kafara pamoja na kuomba msamaha au nifanye nini?
Jibu: Hakuna kinachomlazimu isipokuwa kutubu, jambo ambalo amekwishalifanya na himdi zote anastahiki Allaah. Halazimiki kurudi kuswali wala kufunga zile swalah na swawm zilizompita. Lakini kuhusu zakaah ni lazima kwake kuzitoa. Asipofanya hivo hakuna neno. Kwa sababu alipoacha swalah alikuwa ni mwenye kuritadi na akawa ni miongoni mwa wanawake wa kikafiri. Hivi sasa Allaah amemuongoza katika Uislamu na ni muislamu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1389
Imechapishwa: 01/12/2019
https://firqatunnajia.com/mwanamke-ametubia-baada-ya-miaka-mingi-kutoswali-na-kutofunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)