192- Nilimuuliza baba yangu juu ya mwanamke ambaye amesafika na ada yake ya mwezi punde tu kabla ya muda wa swalah kumalizika wakati wake; akioga muda utamalizika. Afanye nini?” Akajibu:
“Anayo maji. Anatakiwa kuoga.”
193- Nikamwambia baba yangu:
“Afanye nini akiwa safarini na anachelea muda wa swalah kumalizika akianza kutafuta maji?”
Akajibu:
“Afanye Tayammum na kuswali.”
194- Nikauliza:
“Vipi ikiwa anaweza kununua maji?”
Akajibu:
“Ima anunue maji au afanye Tayammum na kuswali.”
Amesema tena:
“Ayanunue kulingana na fedha zake.”
Nikauliza:
“Ikiwa hawezi kununua maji?”
Akajibu:
“Allaah anasemehe.”
- Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/145-146)
- Imechapishwa: 26/03/2021
192- Nilimuuliza baba yangu juu ya mwanamke ambaye amesafika na ada yake ya mwezi punde tu kabla ya muda wa swalah kumalizika wakati wake; akioga muda utamalizika. Afanye nini?” Akajibu:
“Anayo maji. Anatakiwa kuoga.”
193- Nikamwambia baba yangu:
“Afanye nini akiwa safarini na anachelea muda wa swalah kumalizika akianza kutafuta maji?”
Akajibu:
“Afanye Tayammum na kuswali.”
194- Nikauliza:
“Vipi ikiwa anaweza kununua maji?”
Akajibu:
“Ima anunue maji au afanye Tayammum na kuswali.”
Amesema tena:
“Ayanunue kulingana na fedha zake.”
Nikauliza:
“Ikiwa hawezi kununua maji?”
Akajibu:
“Allaah anasemehe.”
Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/145-146)
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliyetwahirika-anachelea-kumalizika-kwa-muda-wa-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)