Swali: Je, Talaka inapita ikiwa mke atamuomba Talaka mume wake naye yuko katika hali ya ugonjwa?
Jibu: Ikiwa mke ndio kamuomba Talaka mume, Talaka inapita kwa hali yoyote. Lakini je, mke atarithi au harithi? Ikiwa mke ndio kamuomba, Talaka inapita lakini hatorithi. Na kama si yeye aliyemuomba, inapita na atarithi. Mu´amala kutokana na makusudio yake. Hata hivyo, Talaka inapita kwa hali yoyote. Lakini ikiwa yeye ndio kaiomba, inapita na wala hana haki ya mirathi kwa kuwa hastahiki mali yake. Ama ikiwa si yeye ndio kaiomba, Talaka inapita lakini hii halitomzuia kupata mirathi.
- Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/10069
- Imechapishwa: 24/02/2018
Swali: Je, Talaka inapita ikiwa mke atamuomba Talaka mume wake naye yuko katika hali ya ugonjwa?
Jibu: Ikiwa mke ndio kamuomba Talaka mume, Talaka inapita kwa hali yoyote. Lakini je, mke atarithi au harithi? Ikiwa mke ndio kamuomba, Talaka inapita lakini hatorithi. Na kama si yeye aliyemuomba, inapita na atarithi. Mu´amala kutokana na makusudio yake. Hata hivyo, Talaka inapita kwa hali yoyote. Lakini ikiwa yeye ndio kaiomba, inapita na wala hana haki ya mirathi kwa kuwa hastahiki mali yake. Ama ikiwa si yeye ndio kaiomba, Talaka inapita lakini hii halitomzuia kupata mirathi.
Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/10069
Imechapishwa: 24/02/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliyeomba-talaka-hana-haki-ya-mirathi-ya-mume-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)