Swali: Mke akifiliwa na mume wake kabla ya kumwingilia atamrithi mwanaume huyo, atakaa eda na ana haki ya mahari?
Jibu: Ndio. Akimuoa kisha akafa kabla ya kumwingilia atamrithi. Atatakiwa kukaa eda. Ana haki ya kupata mirathi. Ana haki ya mahari yake aliyotajiwa. Ikiwa hakumtajia mahari basi ana haki ya kupewa mahari mfano wa wanawake kama yeye[1]. Kama ilivyothibiti katika Hadiyth kutoka kwa Ma´qiyl bin Sinaan al-Ashja´iy na pia ndivo alivyofutu Ibn Mas´uud. Anapofariki mume kabla ya kumwingilia na kabla ya kumtajia mahari basi atapewa mahari mfano wa wanawake kama yeye. Hatopunguziwa na wala hatopunguziwa. Atakaa eda na atapata mirathi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/66-faida-mbili-kuhusu-masuala-ya-eda/
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/3557/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D9%85%D9%86-%D9%8A%D8%AA%D9%88%D9%81%D9%8A-%D8%B9%D9%86%D9%87%D8%A7-%D8%B2%D9%88%D8%AC%D9%87%D8%A7-%D9%82%D8%A8%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%AF%D8%AE%D9%88%D9%84-%D8%A8%D9%87%D8%A7
- Imechapishwa: 16/02/2020
Swali: Mke akifiliwa na mume wake kabla ya kumwingilia atamrithi mwanaume huyo, atakaa eda na ana haki ya mahari?
Jibu: Ndio. Akimuoa kisha akafa kabla ya kumwingilia atamrithi. Atatakiwa kukaa eda. Ana haki ya kupata mirathi. Ana haki ya mahari yake aliyotajiwa. Ikiwa hakumtajia mahari basi ana haki ya kupewa mahari mfano wa wanawake kama yeye[1]. Kama ilivyothibiti katika Hadiyth kutoka kwa Ma´qiyl bin Sinaan al-Ashja´iy na pia ndivo alivyofutu Ibn Mas´uud. Anapofariki mume kabla ya kumwingilia na kabla ya kumtajia mahari basi atapewa mahari mfano wa wanawake kama yeye. Hatopunguziwa na wala hatopunguziwa. Atakaa eda na atapata mirathi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/66-faida-mbili-kuhusu-masuala-ya-eda/
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/3557/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D9%85%D9%86-%D9%8A%D8%AA%D9%88%D9%81%D9%8A-%D8%B9%D9%86%D9%87%D8%A7-%D8%B2%D9%88%D8%AC%D9%87%D8%A7-%D9%82%D8%A8%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%AF%D8%AE%D9%88%D9%84-%D8%A8%D9%87%D8%A7
Imechapishwa: 16/02/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliyefiliwa-kabla-ya-kuingiliwa-na-mumewe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)