Swali: Kuna mwanamke anamiliki dhahabu ambazo zimefikisha Niswaab. Na tokea amiliki dhahabu hizi zimeshafanya Hawl sita na hakutoa Zakaah kwa kuwa alikuwa hajui kuwa anawajibika Zakaah[1]. Baada ya kujua alitoa Zakaah ya miaka miwili na kumebaki miaka miwili mingine. Ipi hukumu ya hilo na anawajibika nini?
Jibu: Miaka iliobaki iko juu ya dhimmah yake. Kwa kuwa ni haki ya mafukara. Ataitoa pale ambapo Allaah Atamsahilishia. Katika dhimmah yake kumebaki deni juu yake. Na pale ambapo Allaah Atamsahilishia ataitoa kuwapa mafukara.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/mwanamke-alikuwa-hajui-kuwa-anajibika-kutoa-zakaah-ya-dhahabu-zake-na-sasa-amejua/
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1646
- Imechapishwa: 24/02/2018
Swali: Kuna mwanamke anamiliki dhahabu ambazo zimefikisha Niswaab. Na tokea amiliki dhahabu hizi zimeshafanya Hawl sita na hakutoa Zakaah kwa kuwa alikuwa hajui kuwa anawajibika Zakaah[1]. Baada ya kujua alitoa Zakaah ya miaka miwili na kumebaki miaka miwili mingine. Ipi hukumu ya hilo na anawajibika nini?
Jibu: Miaka iliobaki iko juu ya dhimmah yake. Kwa kuwa ni haki ya mafukara. Ataitoa pale ambapo Allaah Atamsahilishia. Katika dhimmah yake kumebaki deni juu yake. Na pale ambapo Allaah Atamsahilishia ataitoa kuwapa mafukara.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/mwanamke-alikuwa-hajui-kuwa-anajibika-kutoa-zakaah-ya-dhahabu-zake-na-sasa-amejua/
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1646
Imechapishwa: 24/02/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-alikuwa-hajui-kuwa-anajibika-kutoa-zakaah-ya-dhahabu-zake-na-sasa-amejua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)