Swali: Inajuzu kwa mwanamke aliyefiwa na mume wake kujitia manukato wakati anapotoka jikoni au chooni?
Jibu: Mwanamke mfiwa haijuzu kwake kujitia manukato wakati wa eda. Anaweza kuondosha harufu mbaya wakati wa kuoga kwa kutumia shampoo, sabuni au mkunazi. Vitu hivi vinaondosha harufu mbaya na kusafisha mwili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Inajuzu kwa mwanamke aliyefiwa na mume wake kujitia manukato wakati anapotoka jikoni au chooni?
Jibu: Mwanamke mfiwa haijuzu kwake kujitia manukato wakati wa eda. Anaweza kuondosha harufu mbaya wakati wa kuoga kwa kutumia shampoo, sabuni au mkunazi. Vitu hivi vinaondosha harufu mbaya na kusafisha mwili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/mwanamali-anatumia-sabuni-na-shampoo-wakati-wa-eda__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)