Mwanakamati wa kitengo cha Da´wah ambaye hakusoma

Swali: Inafaa kwa mzungu ambaye hakusoma chini ya wanachuoni na wala hatambuliki kuwa na elimu awe mmoja wa wanakamati wa Da´wah ya Kiislamu?

Jibu: Kamati jambo lake ni jepesi. Hata hivyo asifundishe na wala asitoe fatwa midhali hakusoma chini ya wanachuoni.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
  • Imechapishwa: 13/05/2019