Swali: Dada huyu anafunza katika masomo ya wasichana na yuko pamoja na maustadhi wanaume. Dada huyu anapata dhiki kwa uwepo wao. Je, aache kusomesha au aendelee?
Jibu: Naona kuwa katika hali hii aache kusomesha kutokana na dhiki hii anayohisi. Isipokuwa ikiwa wanawake ambao anawasomesha katika masomo haya wana sehemu yao maalum na hawachanganyikani na wanaume. Katika hali hii hakuna neno. Hakuna neno yeye na mume wake wakasomesha katika masomo moja ikiwa wanaume na wanawake kila wamoja wana sehemu zao maalum na hakuna jinsia moja inayochanganyikana na nyingine.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (05) http://binothaimeen.net/content/6683
- Imechapishwa: 30/10/2020
Swali: Dada huyu anafunza katika masomo ya wasichana na yuko pamoja na maustadhi wanaume. Dada huyu anapata dhiki kwa uwepo wao. Je, aache kusomesha au aendelee?
Jibu: Naona kuwa katika hali hii aache kusomesha kutokana na dhiki hii anayohisi. Isipokuwa ikiwa wanawake ambao anawasomesha katika masomo haya wana sehemu yao maalum na hawachanganyikani na wanaume. Katika hali hii hakuna neno. Hakuna neno yeye na mume wake wakasomesha katika masomo moja ikiwa wanaume na wanawake kila wamoja wana sehemu zao maalum na hakuna jinsia moja inayochanganyikana na nyingine.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (05) http://binothaimeen.net/content/6683
Imechapishwa: 30/10/2020
https://firqatunnajia.com/mwalimu-wa-kike-anahisi-dhiki-kusomesha-na-wanaume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)