Swali: Kuna mtu alimpa Zakaat-ul-Fitwr mtu mwingine amtolee. Lakini aliyepewa kazi hii hakuitoa isipokuwa baada ya swalah ya ´Iyd. Je, inatakasika dhimma ya yule mtu wa kwanza?
Jibu: Ndio. Kama aliitoa dhimma yake inatakasika. Yule aliyepewa kazi hiyo kama alisahau na akachelewesha kwa sababu ya kusahau, hapana neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 20/11/2018
Swali: Kuna mtu alimpa Zakaat-ul-Fitwr mtu mwingine amtolee. Lakini aliyepewa kazi hii hakuitoa isipokuwa baada ya swalah ya ´Iyd. Je, inatakasika dhimma ya yule mtu wa kwanza?
Jibu: Ndio. Kama aliitoa dhimma yake inatakasika. Yule aliyepewa kazi hiyo kama alisahau na akachelewesha kwa sababu ya kusahau, hapana neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
Imechapishwa: 20/11/2018
https://firqatunnajia.com/mwakilishwi-amechelewesha-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)