Swali: Inajuzu kwa mfanya Waqf kutumia mali ya Waqf yeye mwenyewe na familia yake?
Jibu: Inategemea na sharti aloweka. Ikiwa aliweka sharti kuitumia muda wa uhai wake, hakuna neno. Ikiwa hakuweka sharti asitumie chochote. Katika hali hii Waqf hii itatumika kwa ajili ya lile jambo alilonuia na kulilenga.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
- Imechapishwa: 06/08/2017
Swali: Inajuzu kwa mfanya Waqf kutumia mali ya Waqf yeye mwenyewe na familia yake?
Jibu: Inategemea na sharti aloweka. Ikiwa aliweka sharti kuitumia muda wa uhai wake, hakuna neno. Ikiwa hakuweka sharti asitumie chochote. Katika hali hii Waqf hii itatumika kwa ajili ya lile jambo alilonuia na kulilenga.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
Imechapishwa: 06/08/2017
https://firqatunnajia.com/muweka-waqf-anatumia-waqf-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)