Swali: Wakati fulani najiwa na makafiri kwenye duka la kuuza mauwa na wananiomba kuandika juu ya mauwa katika minasaba yao. Je, inajuzu kwake kufanya hivo?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Anawasaidia makafiri katika batili yao? Haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (81) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%B4%D8%B1%D8%AD%20%D9%81%D8%AA%D8%AD%20%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AC%D9%8A%D8%AF%20-24-07-1439%20%D9%87%D9%80.lite_.mp3
- Imechapishwa: 26/10/2018
Swali: Wakati fulani najiwa na makafiri kwenye duka la kuuza mauwa na wananiomba kuandika juu ya mauwa katika minasaba yao. Je, inajuzu kwake kufanya hivo?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Anawasaidia makafiri katika batili yao? Haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (81) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%B4%D8%B1%D8%AD%20%D9%81%D8%AA%D8%AD%20%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AC%D9%8A%D8%AF%20-24-07-1439%20%D9%87%D9%80.lite_.mp3
Imechapishwa: 26/10/2018
https://firqatunnajia.com/muuzaji-wa-mauwa-na-wateja-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)