Swali: Je, muuzaji ana haki ya kupewa malipo ya awali ikiwa biashara bado haijatimia?
Jibu: Kwa mujibu wa Ahmad na baadhi ya wengine inafaa kwa muuzaji kuchukua. Mnunuzi akiagiza bidhaa na kisha baadaye asiikomboe na hivyo akamzuia muuzaji kuiuza kwa wateja wengine, basi muuzaji atabaki na yale malipo ya awali kutokana na yale madhara yaliyosababishwa katika ule muda wa kusubiri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
- Imechapishwa: 29/01/2022
Swali: Je, muuzaji ana haki ya kupewa malipo ya awali ikiwa biashara bado haijatimia?
Jibu: Kwa mujibu wa Ahmad na baadhi ya wengine inafaa kwa muuzaji kuchukua. Mnunuzi akiagiza bidhaa na kisha baadaye asiikomboe na hivyo akamzuia muuzaji kuiuza kwa wateja wengine, basi muuzaji atabaki na yale malipo ya awali kutokana na yale madhara yaliyosababishwa katika ule muda wa kusubiri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
Imechapishwa: 29/01/2022
https://firqatunnajia.com/muuzaji-anabaki-na-malipo-ya-awali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)