Swali: Mtumwa wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye alichukua ngawira yuko Motoni na atadumishwa humo milele?
Jibu: Ni nani ambaye amekwambia kuwa atadumishwa humo milele? Hili ni kwa ajili ya matishio tu. Muumini anaweza kuingia Motoni kwa ajili ya dhambi kubwa. Muumini anaweza kuingia Motoni kwa ajili ya dhambi kubwa ikiwa Allaah hatomsamehe. Anaingia Motoni na anaadhibiwa ndani yake. Huenda akaadhibiwa mpaka akawa makaa kwa kuungua, kisha baada ya hapo akatolewa ndani ya Moto ilihali ni muumini. Anaadhibiwa kwa dhambi yake kubwa isipokuwa ikiwa kama Allaah Atamsamehe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (51) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-05-27.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Mtumwa wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye alichukua ngawira yuko Motoni na atadumishwa humo milele?
Jibu: Ni nani ambaye amekwambia kuwa atadumishwa humo milele? Hili ni kwa ajili ya matishio tu. Muumini anaweza kuingia Motoni kwa ajili ya dhambi kubwa. Muumini anaweza kuingia Motoni kwa ajili ya dhambi kubwa ikiwa Allaah hatomsamehe. Anaingia Motoni na anaadhibiwa ndani yake. Huenda akaadhibiwa mpaka akawa makaa kwa kuungua, kisha baada ya hapo akatolewa ndani ya Moto ilihali ni muumini. Anaadhibiwa kwa dhambi yake kubwa isipokuwa ikiwa kama Allaah Atamsamehe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (51) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-05-27.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/muumini-anaweza-kuadhibiwa-kwa-dhambi-kubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)