Swali: Afanye nini mwanamke ambaye mume wake kamtupilia zaidi ya miaka miwili kwa hoja ya kwamba anatafuta elimu. Na mwanamke huyu kuna khatari akatumbukia katika fitina kwa kumkosa mume wake. Ipi hukumu ya hili?
Jibu: Mwanamke huyu akiweza kusubiri na ameachiwa matumizi na akapenda mwenyewe kusibiri, basi afanye hivyo. Ama akikhofia nafsi yake fitina, anaweza kuomba waachane.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=687
- Imechapishwa: 24/02/2018
Swali: Afanye nini mwanamke ambaye mume wake kamtupilia zaidi ya miaka miwili kwa hoja ya kwamba anatafuta elimu. Na mwanamke huyu kuna khatari akatumbukia katika fitina kwa kumkosa mume wake. Ipi hukumu ya hili?
Jibu: Mwanamke huyu akiweza kusubiri na ameachiwa matumizi na akapenda mwenyewe kusibiri, basi afanye hivyo. Ama akikhofia nafsi yake fitina, anaweza kuomba waachane.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=687
Imechapishwa: 24/02/2018
https://firqatunnajia.com/mume-wake-kamtupa-miaka-miwili-na-kwenda-kutafuta-elimu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)