Swali: Je, mwanamke anakuwa halali kwa mume wa kwanza aliyehalalishiwa ikiwa hajui nia ya yule mwanaume aliyekusudia kuhalalisha[1]?
Jibu: Hapana. Mwanamke hawi halali hata kama hakujua. Kwa sababu ndoa si sahihi.
[1] Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
”Ndoa nyingine iliyoharamishwa na Allaah (´Azza wa Jall) na imetokea kwa baadhi ya watu ni ndoa inayoitwa “kufanya halali”, Tahliyl. Pindi mwanamume anapomtaliki mke wake kwa mara ya tatu na hivyo anakuwa hawezi kumrudi tena, anakubaliana na mwanaume mwingine ili amuoe. Pindi yule mume wa pili anapomuoa na kumwingilia, anamtaliki ili aweze kurudi kwa yule mume wake wa kwanza. Hii ndio ile ndoa inayoitwa “Tahliyl” na inafanywa na watu wenye imani dhaifu na wasiomcha Allaah (´Azza wa Jall). Imethibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
“Allaah amlaani yule mwanaume anayefanya halali na yule mwanaume anayehalalishiwa.” (Ibn Maajah (1963). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan Ibn Maajah” (1585)) http://www.alifta.net/Fatawa/FatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=3998&PageNo=1&BookID=4
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Je, mwanamke anakuwa halali kwa mume wa kwanza aliyehalalishiwa ikiwa hajui nia ya yule mwanaume aliyekusudia kuhalalisha[1]?
Jibu: Hapana. Mwanamke hawi halali hata kama hakujua. Kwa sababu ndoa si sahihi.
[1] Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
”Ndoa nyingine iliyoharamishwa na Allaah (´Azza wa Jall) na imetokea kwa baadhi ya watu ni ndoa inayoitwa “kufanya halali”, Tahliyl. Pindi mwanamume anapomtaliki mke wake kwa mara ya tatu na hivyo anakuwa hawezi kumrudi tena, anakubaliana na mwanaume mwingine ili amuoe. Pindi yule mume wa pili anapomuoa na kumwingilia, anamtaliki ili aweze kurudi kwa yule mume wake wa kwanza. Hii ndio ile ndoa inayoitwa “Tahliyl” na inafanywa na watu wenye imani dhaifu na wasiomcha Allaah (´Azza wa Jall). Imethibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
“Allaah amlaani yule mwanaume anayefanya halali na yule mwanaume anayehalalishiwa.” (Ibn Maajah (1963). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan Ibn Maajah” (1585)) http://www.alifta.net/Fatawa/FatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=3998&PageNo=1&BookID=4
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/mume-wa-pili-anahalalisha-bila-yule-mume-wa-kwanza-kujua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)