Swali: Ni ipi hukumu kwa mtu ambaye daima analala kwenye chumba chake tofauti na mke wake ili kuwaacha watoto wadogo na kwa sababu ya kazi. Mwanamke anadhurika kwa hilo.
Jibu: Muhimu ni yeye atumie usiku kwenye nyumba ambayo yumoemo. Sio lazima kwake kulala kwenye kitanda kimoja pamoja naye. Anaweza kulala kwenye nyumba moja na yeye, bi maana karibu yake. Hili ndio linalotakikana. Akilala na yeye kwenye kitanda kimoja, hili ndio bora zaidi ingawa sio lazima.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=138482
- Imechapishwa: 16/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mtu ambaye daima analala kwenye chumba chake tofauti na mke wake ili kuwaacha watoto wadogo na kwa sababu ya kazi. Mwanamke anadhurika kwa hilo.
Jibu: Muhimu ni yeye atumie usiku kwenye nyumba ambayo yumoemo. Sio lazima kwake kulala kwenye kitanda kimoja pamoja naye. Anaweza kulala kwenye nyumba moja na yeye, bi maana karibu yake. Hili ndio linalotakikana. Akilala na yeye kwenye kitanda kimoja, hili ndio bora zaidi ingawa sio lazima.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=138482
Imechapishwa: 16/09/2020
https://firqatunnajia.com/mume-na-mke-wanalala-kwenye-vyumba-tofauti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)