Swali: Mume wangu aliniingilia mchana wa Ramadhaan kutokana na udhaifu wangu mimi na yeye – tunamuomba Allaah atusamehe. Je, inatosha hivi sasa kuchinja kichinjwa na kukigawa au tulishe masikini mia na sitini au haisihi?
Jibu: Ni wajibu kwa mume na kwa mke kila mmoja katika wao kuacha mtumwa huru, wasipoweza basi kila mmoja afunge miezi miwili mfululizo, wasipoweza kila mmoja alishe masikini sitini.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/952
- Imechapishwa: 10/05/2018
Swali: Mume wangu aliniingilia mchana wa Ramadhaan kutokana na udhaifu wangu mimi na yeye – tunamuomba Allaah atusamehe. Je, inatosha hivi sasa kuchinja kichinjwa na kukigawa au tulishe masikini mia na sitini au haisihi?
Jibu: Ni wajibu kwa mume na kwa mke kila mmoja katika wao kuacha mtumwa huru, wasipoweza basi kila mmoja afunge miezi miwili mfululizo, wasipoweza kila mmoja alishe masikini sitini.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/952
Imechapishwa: 10/05/2018
https://firqatunnajia.com/mume-na-mke-wameingiliana-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)