Swali: Je, ni lazima kwa mume kwenda na mke wake kuhiji ili awe Mahram wake ikiwa mume tayari amekwishahiji hapo kabla?
Jibu: Sio lazima. Isipokuwa ikiwa mke alimuwekea sharti hiyo. Vinginevyo hajj itakuwa ni lazima kwake punde tu atapopata Mahram. Ikishindikana mwanamke atoe katika mali yake ikiwepesika kufanya hivo mtu mwengine amuhijie. Ni katika kumtendea wema. Isipokuwa ikiwa alimuwekea sharti wakati wa kufunga ndoa kwamba atahiji pamoja naye.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14)
- Imechapishwa: 31/05/2020
Swali: Je, ni lazima kwa mume kwenda na mke wake kuhiji ili awe Mahram wake ikiwa mume tayari amekwishahiji hapo kabla?
Jibu: Sio lazima. Isipokuwa ikiwa mke alimuwekea sharti hiyo. Vinginevyo hajj itakuwa ni lazima kwake punde tu atapopata Mahram. Ikishindikana mwanamke atoe katika mali yake ikiwepesika kufanya hivo mtu mwengine amuhijie. Ni katika kumtendea wema. Isipokuwa ikiwa alimuwekea sharti wakati wa kufunga ndoa kwamba atahiji pamoja naye.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14)
Imechapishwa: 31/05/2020
https://firqatunnajia.com/mume-kuandamana-na-mke-katika-hajj/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)