Swali: Mwenye kumlaani mke wake ni kama vile kampa talaka?
Jibu: Hapana, si kama aliyemtaliki. Isipokuwa tu akidhihirisha kuwa kakusudia kumtaliki. Kumlaani ni haramu kwake mume, kumlaani ni haramu kwake.
- Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://z-salafi.com/v2/action?s_menu=23&idFatwa=2559
- Imechapishwa: 22/09/2020
Swali: Mwenye kumlaani mke wake ni kama vile kampa talaka?
Jibu: Hapana, si kama aliyemtaliki. Isipokuwa tu akidhihirisha kuwa kakusudia kumtaliki. Kumlaani ni haramu kwake mume, kumlaani ni haramu kwake.
Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://z-salafi.com/v2/action?s_menu=23&idFatwa=2559
Imechapishwa: 22/09/2020
https://firqatunnajia.com/mume-kamlaani-mke-wake-je-mke-katalikika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)