Swali: Je, mume anapata dhambi akimkatalia mke wake kuhiji?
Jibu: Ndio, anapata dhambi. Akimkatalia kufanya hajj ambayo imekamilisha sharti zake ni mwenye kupata dhambi. Kwa mfano mke anamwambia niko na Mahram wa kusafiri naye, niko na matumizi yangu na sitaki kutoka kwako pesa hata moja na wakati huohuo bado hajahiji hajj ya faradhi, katika hali hii ni wajibu kwake kumpa idhini. Asipompa idhini, basi ahiji japokuwa ni pasi na idhini yake. Isipokuwa ikiwa kama mke atakhofia kuwa atampa talaka. Katika hali hiyo mwanamke huyu atakuwa ni mwenye udhuru.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1409
- Imechapishwa: 13/12/2019
Swali: Je, mume anapata dhambi akimkatalia mke wake kuhiji?
Jibu: Ndio, anapata dhambi. Akimkatalia kufanya hajj ambayo imekamilisha sharti zake ni mwenye kupata dhambi. Kwa mfano mke anamwambia niko na Mahram wa kusafiri naye, niko na matumizi yangu na sitaki kutoka kwako pesa hata moja na wakati huohuo bado hajahiji hajj ya faradhi, katika hali hii ni wajibu kwake kumpa idhini. Asipompa idhini, basi ahiji japokuwa ni pasi na idhini yake. Isipokuwa ikiwa kama mke atakhofia kuwa atampa talaka. Katika hali hiyo mwanamke huyu atakuwa ni mwenye udhuru.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1409
Imechapishwa: 13/12/2019
https://firqatunnajia.com/mume-anapata-dhambi-asipompa-idhini-mkewe-kwenda-kuhiji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)