Swali: Mke wangu ana akaunti yake mwenyewe ya benki. Wakati mali yake inatimiza mwaka mmoja mimi humtolea zakaah kutoka kwenye mali yangu mwenyewe. Je, kitendo hichi kinafaa au ni lazima ajitolee zakaah kutoka katika pesa yake mwenyewe?
Jibu: Kumtolea inafaa lakini hata hivyo ni lazima amjulishe ili anuie. Katika hali hii wewe unazingatiwa unamuwakilisha. Ni lazima anuie kutoa zakaah kwa ajili ya nia. Vinginevyo inafaa, hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 08/11/2019
Swali: Mke wangu ana akaunti yake mwenyewe ya benki. Wakati mali yake inatimiza mwaka mmoja mimi humtolea zakaah kutoka kwenye mali yangu mwenyewe. Je, kitendo hichi kinafaa au ni lazima ajitolee zakaah kutoka katika pesa yake mwenyewe?
Jibu: Kumtolea inafaa lakini hata hivyo ni lazima amjulishe ili anuie. Katika hali hii wewe unazingatiwa unamuwakilisha. Ni lazima anuie kutoa zakaah kwa ajili ya nia. Vinginevyo inafaa, hakuna neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 08/11/2019
https://firqatunnajia.com/mume-anamlipia-zakaah-mke-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)