Swali: Kuna mtu ana kiwango fulani cha pesa kwenye akaunti yake katika nchi yake. Pesa hii imeshapitikiwa na mwaka mmoja. Je, atoe zakaah huku au awakilishe mtu ambaye anaweza kumtolea katika nchi yake?
Jibu: Yote mawili yanajuzu. Akiwapa wale mafukara hapa, ndio bora zaidi. Akiwakilisha mtu ambaye atawapa mafukara katika nchi yake pia hakuna neno kufanya hivo. Jambo muhimu ni kwamba iwafikie mafukara.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 02/11/2018
Swali: Kuna mtu ana kiwango fulani cha pesa kwenye akaunti yake katika nchi yake. Pesa hii imeshapitikiwa na mwaka mmoja. Je, atoe zakaah huku au awakilishe mtu ambaye anaweza kumtolea katika nchi yake?
Jibu: Yote mawili yanajuzu. Akiwapa wale mafukara hapa, ndio bora zaidi. Akiwakilisha mtu ambaye atawapa mafukara katika nchi yake pia hakuna neno kufanya hivo. Jambo muhimu ni kwamba iwafikie mafukara.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
Imechapishwa: 02/11/2018
https://firqatunnajia.com/muhimu-zakaah-iwafikie-mafukara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)