Swali: Ni wepi wenye fadhila zaidi; Muhajiruun au Answaar?
Jibu: Muhaajiruun ndio wabora zaidi. Kwa ajili hio ndio maana wanatajwa kabla ya Answaar. Muhaajiruun ndio wabora zaidi. Wameacha mali zao, manyumba yao na miji yao. Wao ni wabora zaidi kuliko Answaar.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17475
- Imechapishwa: 25/11/2017
Swali: Ni wepi wenye fadhila zaidi; Muhajiruun au Answaar?
Jibu: Muhaajiruun ndio wabora zaidi. Kwa ajili hio ndio maana wanatajwa kabla ya Answaar. Muhaajiruun ndio wabora zaidi. Wameacha mali zao, manyumba yao na miji yao. Wao ni wabora zaidi kuliko Answaar.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17475
Imechapishwa: 25/11/2017
https://firqatunnajia.com/muhaajiruun-ni-bora-zaidi-kuliko-answaar/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)