148- Nilimuuliza baba yangu mtu apanguse juu ya khofu kwa muda kiasi gani katika nchi ya vita. Akajibu:
“Kufuta juu ya khofu ni mamoja katika nchi ya vita na nchi zengine zote; kwa msafiri ni michana mitatu na nyusiku zake na mkazi ni mchana mmoja na usiku wake.”
- Mhusika: Imaam ´Abdullâh bin Ahmad bin Hanbal (kfk. 290)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/117)
- Imechapishwa: 07/02/2020
148- Nilimuuliza baba yangu mtu apanguse juu ya khofu kwa muda kiasi gani katika nchi ya vita. Akajibu:
“Kufuta juu ya khofu ni mamoja katika nchi ya vita na nchi zengine zote; kwa msafiri ni michana mitatu na nyusiku zake na mkazi ni mchana mmoja na usiku wake.”
Mhusika: Imaam ´Abdullâh bin Ahmad bin Hanbal (kfk. 290)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/117)
Imechapishwa: 07/02/2020
https://firqatunnajia.com/muda-wa-kupangusa-ni-uleule-popote-mtu-alipo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)